Karibu kwenye tovuti yetu. Ndugu wapendwa, ukitaka kuwafahamu Ndugu Wadogo Wakonventuali ni akina nani, nenda hatua kwa hatua na utafurahia kuwa hapa...



Ndugu Wadogo Wakonventuali ni kikundi cha kitawa cha kimataifa. Hapa Kenya, tuko asilimia dogo ya jumuia kubwa duniani iitwayo shirika la Ndugu Wadogo Wakoniventuali, iliyoanzishwa na Mtakatifu Fransisko wa Assisi huko Italia karne ya kumi na tatu. Mwanzo wa shirika ni mnyenyekevu kama huo na mtakatifu Fransisko wa Assisi ameendelea kuvutia wafuasi waaminifu kutoka pande zote za dunia miaka yote.




Subukia ipo kilometa mia mbili na kumi kutoka Nairobi katika bonde la ufa, jimbo la Nakuru. Cardinal Michael Otunga ndiye alitoa ushauri kuhusu `Marian shrine` hapa Kenya mwaka wa 2003. Ni yeye pamoja na askofu Ndingi Mwana ‘a Nzeki ambaye kwa wakati huo alikuwa askofu wa jimbo la Nakuru. Walipewa jukumu la kutatufa mahali panapofaa. Cardinali ndiye aliyependekeza jina la shrine iitwe "Village of Mary Mother of God"...

Cophyright ofmconv.Kenya 2005-2008 created by W.Ulman - Admin Panel - Mail: LogIn


    kiswahili po polsku


   .